Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 5:16-19 Biblia Habari Njema (BHN)

16. Elishama, Eliada na Elifeleti.

17. Wafilisti waliposikia kwamba Daudi amepakwa mafuta kuwa mfalme wa Israeli, wote walitoka kwenda kumtafuta, lakini yeye alipata habari, akaingia ndani ya ngome.

18. Wafilisti walifika na kujitawanya kwenye Bonde la Refaimu.

19. Basi, Daudi alimwuliza Mwenyezi-Mungu shauri, “Je, niende kuwashambulia Wafilisti? Je, utawatia mikononi mwangu?” Naye Mwenyezi-Mungu akamwambia Daudi, “Nenda, maana hakika nitawatia Wafilisti mikononi mwako.”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 5