Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 5:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Daudi akafika Baal-perasimu, na kuwashinda Wafilisti; halafu akasema, “Mwenyezi-Mungu amepita katikati ya adui zangu kama mafuriko ya maji yaendayo kasi.” Kwa hiyo mahali hapo pakaitwa Baal-perasimu.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 5

Mtazamo 2 Samueli 5:20 katika mazingira