Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 3:22 Biblia Habari Njema (BHN)

Baadaye, Yoabu na baadhi ya watu wa Daudi walirudi kutoka mashambulio, wakaleta nyara nyingi. Lakini Abneri hakuwa pamoja na Daudi huko Hebroni kwani Daudi alikuwa amemuaga aende zake, naye akaondoka kwa amani.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 3

Mtazamo 2 Samueli 3:22 katika mazingira