Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 3:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Abneri akamwambia Daudi, “Mimi sasa nitakwenda na kukuletea watu wote wa Israeli, wewe bwana wangu mfalme. Watakuja na kufanya agano nawe, ili uwe mfalme wao, nawe utawatawala wote kama upendavyo.” Daudi akamuaga Abneri aende zake, naye akaondoka kwa amani.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 3

Mtazamo 2 Samueli 3:21 katika mazingira