Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 24:22 Biblia Habari Njema (BHN)

Naye Arauna akamwambia Daudi, “Bwana wangu mfalme, chukua chochote unachoona kinafaa na utolee sadaka. Mimi nawatoa fahali hawa kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa na vifaa hivi vya kupuria na nira za ng'ombe kuwa kuni.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 24

Mtazamo 2 Samueli 24:22 katika mazingira