Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 24:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha Arauna akamwuliza mfalme, “Kwa nini bwana wangu mfalme amenijia mimi mtumishi wake?” Daudi akamjibu, “Nimekuja kununua uwanja wako wa kupuria nafaka ili nimjengee Mwenyezi-Mungu madhabahu ili tauni iliyowakumba watu ikome.”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 24

Mtazamo 2 Samueli 24:21 katika mazingira