Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 22:9-11 Biblia Habari Njema (BHN)

9. Moshi ulifuka kutoka puani mwake,moto uunguzao ukatoka kinywani mwake,makaa ya moto yalilipuka kutoka kwake.

10. Aliinamisha anga, akashuka chini;na wingu jeusi chini ya miguu yake.

11. Alipanda kiumbe chenye mabawa na kuruka,alionekana juu ya mabawa ya upepo.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 22