9. Moshi ulifuka kutoka puani mwake,moto uunguzao ukatoka kinywani mwake,makaa ya moto yalilipuka kutoka kwake.
10. Aliinamisha anga, akashuka chini;na wingu jeusi chini ya miguu yake.
11. Alipanda kiumbe chenye mabawa na kuruka,alionekana juu ya mabawa ya upepo.