Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 20:22 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, huyo mwanamke akaenda kwa watu wote mjini kwa busara yake. Wakamkata kichwa Sheba mwana wa Bikri, wakakitupa nje kwa Yoabu. Kwa hiyo, Yoabu akapiga tarumbeta, na kuwatawanya watu wake kutoka mji huo wa Abeli; kila mtu akaenda nyumbani kwake. Kisha Yoabu akarudi kwa mfalme Daudi, mjini Yerusalemu.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 20

Mtazamo 2 Samueli 20:22 katika mazingira