Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 20:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Ulivyosema si kweli! Lakini mtu mmoja kutoka sehemu ya milima ya Efraimu aitwaye Sheba mwana wa Bikri anataka kumwasi mfalme Daudi. Mtoeni huyo kwangu nami nitaondoka mjini kwenu.” Yule mwanamke akamwambia Yoabu, “Kichwa chake kitarushwa kwako kupitia ukutani.”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 20

Mtazamo 2 Samueli 20:21 katika mazingira