Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 2:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Yoabu na Abishai walimfuatia Abneri. Jua lilipokuwa linatua, wakafika kwenye mlima wa Ama, ulioko mashariki ya Gia, katika barabara iendayo jangwa la Gibeoni.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 2

Mtazamo 2 Samueli 2:24 katika mazingira