Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 2:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Asaheli alikataa. Hivyo Abneri akampiga mkuki tumboni kinyumenyume, na mkuki huo ukatokeza mgongoni kwa Asaheli. Asaheli akaanguka chini, na kufa papo hapo. Watu wote waliofika mahali alipofia Asaheli, walisimama kimya.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 2

Mtazamo 2 Samueli 2:23 katika mazingira