Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 15:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Absalomu alipokwenda huko Hebroni, alikwenda na watu 200 aliowaalika kutoka Yerusalemu, nao walikwenda huko kwa nia njema, wala hawakujua chochote kuhusu mpango wa Absalomu.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 15

Mtazamo 2 Samueli 15:11 katika mazingira