Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 29:27 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Hezekia akaamuru sadaka ya kuteketeza itolewe juu ya madhabahu. Mara tu tambiko hiyo ilipoanza kutolewa, watu walianza kumsifu Mwenyezi-Mungu kwa nyimbo zilizoandamana na mlio wa tarumbeta na vyombo vya muziki vya Daudi mfalme wa Israeli.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 29

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 29:27 katika mazingira