Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 26:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati huo, Uzia alikuwa amesimama hekaluni karibu na madhabahu, ameshikilia chetezo cha kufukizia ubani mkononi. Aliwakasirikia makuhani; na mara alipofanya hivyo, akashikwa na ukoma katika paji la uso wake mbele ya makuhani hao.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 26

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 26:19 katika mazingira