Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 26:18 Biblia Habari Njema (BHN)

na kumzuia. Wakamwambia, “Si wajibu wako hata kidogo Uzia, kumfukizia Mwenyezi-Mungu ubani. Ni makuhani tu wa uzao wa Aroni ambao wamewekwa wakfu kufukiza ubani. Ondoka mahali hapa patakatifu. Umemkosea Mwenyezi-Mungu na hutapata heshima yoyote kutoka kwake.”

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 26

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 26:18 katika mazingira