Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 20:9 Biblia Habari Njema (BHN)

kwamba wakipatwa na maafa yoyote, vita, maradhi mabaya, au njaa, basi watakuja na kusimama mbele ya nyumba hii mbele yako, wakulilie katika shida zao, nawe utawasikiliza na kuwaokoa.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 20

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 20:9 katika mazingira