Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 20:8-11 Biblia Habari Njema (BHN)

8. Nao wamekaa humu, na kukujengea hekalu kwa heshima ya jina lako, wakijua

9. kwamba wakipatwa na maafa yoyote, vita, maradhi mabaya, au njaa, basi watakuja na kusimama mbele ya nyumba hii mbele yako, wakulilie katika shida zao, nawe utawasikiliza na kuwaokoa.

10. Sasa watu wa Amoni, Moabu na wa mlima Seiri, ambao hukuwaruhusu babu zetu washambulie nchi zao walipotoka Misri, wakapitia kandokando wasiwaangamize,

11. tazama, jinsi wanavyotulipa. Wanakuja kututoa katika nchi yako uliyotupa iwe mali yetu.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 20