Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 12:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Hivyo mfalme Rehoboamu alijiimarisha zaidi katika Yerusalemu, akaitawala Yuda. Alikuwa na umri wa miaka arubaini na mmoja alipoanza kutawala Yuda. Naye alitawala kwa muda wa miaka kumi na saba katika Yerusalemu, mji ambao Mwenyezi-Mungu aliuchagua miongoni mwa makabila yote ya Israeli aabudiwe humo. Mama yake Rehoboamu aliitwa Naama, kutoka Amoni.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 12

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 12:13 katika mazingira