Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 8:54 Biblia Habari Njema (BHN)

Solomoni alipomaliza kusema sala hiyo yote na ombi lake kwa Mwenyezi-Mungu aliinuka kutoka pale mbele ya madhabahu ya Mwenyezi-Mungu, mahali alipokuwa amepiga magoti akiinua mikono yake juu.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 8

Mtazamo 1 Wafalme 8:54 katika mazingira