Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 7:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Solomoni alijenga ukumbi wa kiti cha enzi ambamo aliamulia kesi za watu. Huu uliitwa pia Ukumbi wa Hukumu. Ulikuwa umepambwa kwa mbao za mierezi kutoka sakafu mpaka dari.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 7

Mtazamo 1 Wafalme 7:7 katika mazingira