Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 5:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Sasa basi, uwaamuru watu wako wanikatie mierezi ya Lebanoni. Watu wangu watajiunga na watu wako katika kazi hiyo, nami nitawalipa watumishi wako kadiri utakavyosema; kwani kama ujuavyo, hakuna yeyote mwenye ujuzi wa kukata miti kama nyinyi Wasidoni.”

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 5

Mtazamo 1 Wafalme 5:6 katika mazingira