Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 5:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, nimeamua kumjengea Mwenyezi-Mungu, Mungu wangu, nyumba ya kumwabudia. Na hii ni sawa kabisa kama Mwenyezi-Mungu alivyomwahidi baba yangu akisema: ‘Mwanao ambaye nitamfanya aketi katika kiti chako cha enzi, atanijengea nyumba!’

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 5

Mtazamo 1 Wafalme 5:5 katika mazingira