Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 4:14-17 Biblia Habari Njema (BHN)

14. Ahinadabu, mwana wa Ido, alisimamia jimbo la Mahanaimu.

15. Ahimaasi, mumewe Basemathi, binti Solomoni, alisimamia wilaya ya Naftali.

16. Baana mwana wa Hushai, alisimamia wilaya ya Asheri na Bealothi.

17. Yehoshafati mwana wa Parua, alisimamia wilaya ya Isakari.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 4