Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 4:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Ben-geberi, alisimamia mji wa Ramoth-gileadi pamoja na vijiji vya Gileadi vilivyokuwa chini ya Yairi, mwana wa Manase; pia alisimamia mkoa wa Argobu ulioko Bashani; yote jumla ilikuwa miji mikubwa sitini iliyozungushiwa kuta na kuwekwa fito za shaba malangoni.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 4

Mtazamo 1 Wafalme 4:13 katika mazingira