Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 22:35 Biblia Habari Njema (BHN)

Na mapigano siku hiyo yakazidi kuwa makali, huku mfalme ameegemeshwa garini, anawaelekea watu wa Aramu. Ilipofika jioni, akafariki. Damu ikawa inamtoka jerahani mwake na kutiririka hadi chini ya gari.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 22

Mtazamo 1 Wafalme 22:35 katika mazingira