Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 22:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Baadaye, makapteni hao walipomwona Yehoshafati, walisema: “Kweli, huyu ndiye mfalme wa Israeli.” Kwa hiyo, walimwelekea, wakamshambulia; lakini Yehoshafati akapiga kelele.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 22

Mtazamo 1 Wafalme 22:32 katika mazingira