Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 20:28 Biblia Habari Njema (BHN)

Ndipo, mtu mmoja wa Mungu akamkaribia mfalme wa Israeli, akamwambia, “Mwenyezi-Mungu asema hivi: ‘Kwa kuwa Waaramu wamesema kwamba mimi Mwenyezi-Mungu ni Mungu wa milimani wala si Mungu wa nchi tambarare, nitakupa ushindi dhidi ya jeshi hili kubwa, nawe utatambua kwamba mimi ndimi Mwenyezi-Mungu.’”

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 20

Mtazamo 1 Wafalme 20:28 katika mazingira