Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 16:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Mnamo mwaka wa ishirini na sita wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda, Ela mwana wa Baasha, alianza kutawala huko Israeli kutoka Tirza. Alitawala kwa muda wa miaka miwili.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 16

Mtazamo 1 Wafalme 16:8 katika mazingira