Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 16:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Tena neno la Mwenyezi-Mungu dhidi ya Baasha na jamaa yake, lilimjia Yehu mwanawe Hanani kwa sababu ya maovu aliyotenda mbele ya Mwenyezi-Mungu. Baasha alimkasirisha Mwenyezi-Mungu kwa matendo yake; alimwiga Yeroboamu na jamaa yake na kuiletea jamaa yake maangamizi.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 16

Mtazamo 1 Wafalme 16:7 katika mazingira