Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 16:34 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati wa utawala wake, Hieli kutoka Betheli, aliujenga upya mji wa Yeriko. Na sawa kabisa na neno la Mwenyezi-Mungu alilonena kwa njia ya Yoshua mwana wa Nuni, Hieli alifiwa na mzaliwa wake wa kwanza Abiramu, wakati wa kuiweka misingi ya Yeriko, akafiwa pia na mwanawe mdogo Segubu, wakati wa kuyaweka malango yake.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 16

Mtazamo 1 Wafalme 16:34 katika mazingira