Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 16:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia Yehu mwana wa Hanani, dhidi ya Baasha:

2. “Wewe Baasha, mimi nilikuinua kutoka mavumbini, nikakufanya kiongozi wa watu wangu Israeli. Wewe umemwiga Yeroboamu, ukawafanya watu wangu Israeli watende dhambi na kunikasirisha kwa dhambi zao.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 16