Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 14:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Rehoboamu, mwanawe Solomoni, alikuwa na umri wa miaka arubaini na mmoja alipoanza kutawala Yuda. Naye alitawala kwa muda wa miaka kumi na saba katika Yerusalemu, mji ambao Mwenyezi-Mungu aliuchagua miongoni mwa miji ya makabila yote ya Israeli aabudiwe humo. Mama yake Rehoboamu alikuwa Naama kutoka Amoni.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 14

Mtazamo 1 Wafalme 14:21 katika mazingira