Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 13:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, mfalme Yeroboamu akamwambia nabii, “Tafadhali, umsihi Mwenyezi-Mungu, Mungu wako, uniombee mkono wangu upate kupona.” Naye nabii akamwomba Mwenyezi-Mungu, na mkono wa mfalme ukapona, ukarudia hali yake ya hapo awali.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 13

Mtazamo 1 Wafalme 13:6 katika mazingira