Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 13:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Mtu huyo akatoa ishara siku ileile, akasema: “Hii ndiyo ishara aliyotamka Mwenyezi-Mungu: ‘Madhabahu itabomoka, na majivu yaliyo juu yake yatamwagika.’”

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 13

Mtazamo 1 Wafalme 13:3 katika mazingira