Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 12:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu wote wa Israeli walipopata habari kwamba Yeroboamu alikuwa amerudi kutoka Misri, walimwita katika mkutano wa hadhara, wakamtawaza kuwa mfalme wa Israeli yote. Hakuna kabila lingine lililojiunga na ukoo wa Daudi isipokuwa tu kabila la Yuda.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 12

Mtazamo 1 Wafalme 12:20 katika mazingira