Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 12:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Mfalme Rehoboamu alipomtuma Adoramu, aliyekuwa mnyapara mkuu wa kazi za kulazimishwa, watu wote wa Israeli walimpiga mawe, wakamuua. Naye Rehoboamu alipanda haraka gari lake la kukokotwa, akakimbilia Yerusalemu.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 12

Mtazamo 1 Wafalme 12:18 katika mazingira