Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 10:22 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa kuwa mfalme Solomoni alikuwa na msafara wa meli za Tarshishi zilizokuwa zikisafiri pamoja na meli za Hiramu, kila mwaka wa tatu meli hizo za Tarshishi zilimletea mfalme dhahabu, fedha, pembe, nyani na tausi.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 10

Mtazamo 1 Wafalme 10:22 katika mazingira