Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 10:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Vyombo vyote vya kunywea divai vya mfalme Solomoni vilikuwa vya dhahabu, na vyombo vyote vilivyokuwa katika Nyumba ya Msitu wa Lebanoni vilikuwa vya dhahabu safi; hakuna kilichotengenezwa kwa madini ya fedha kwani madini ya fedha haikuthaminiwa kuwa kitu wakati huo.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 10

Mtazamo 1 Wafalme 10:21 katika mazingira