Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 10:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Mfalme Solomoni naye alimpatia malkia wa Sheba kila kitu alichotamani na alichotaka; pamoja na vitu vingine ambavyo Solomoni alimpa kutokana na ukarimu wake wa kifalme. Basi malkia akarudi nchini kwake pamoja na watumishi wake.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 10

Mtazamo 1 Wafalme 10:13 katika mazingira