Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 10:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Naye mfalme aliitumia miti hiyo ya msandali kwa ajili ya nguzo za nyumba ya Mwenyezi-Mungu, na za ikulu na pia kwa kutengenezea vinubi na vinanda vya waimbaji. Kiasi cha miti ya msandali kama hicho hakijaonekana tena mpaka leo.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 10

Mtazamo 1 Wafalme 10:12 katika mazingira