Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 6:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Wao wakawaambia, “Mkirudisha sanduku la Mungu wa Israeli, msilirudishe mikono mitupu. Lakini kwa vyovyote vile mnapolirudisha pelekeni na sadaka ya kuondoa hatia ili kuondoa hatia yenu. Mkifanya hivyo mtapona, nanyi mtafahamu kwa nini amekuwa akiwaadhibu mfululizo.”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 6

Mtazamo 1 Samueli 6:3 katika mazingira