Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 6:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Wafilisti waliwaita makuhani na waaguzi wao na kuwauliza, “Tufanyeje na sanduku hili la Mwenyezi-Mungu? Tuambieni namna gani tunavyoweza kulirudisha mahali pake.”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 6

Mtazamo 1 Samueli 6:2 katika mazingira