Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 6:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu aliwaua wakazi sabini wa mji wa Beth-shemeshi, kwa sababu waliangalia ndani ya sanduku lake. Watu waliomboleza kwa sababu Mwenyezi-Mungu alikuwa amefanya mauaji makubwa miongoni mwao.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 6

Mtazamo 1 Samueli 6:19 katika mazingira