Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 6:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Walipeleka pia vinyago vitano vya dhahabu vya panya kulingana na hesabu ya miji yote ya Wafilisti iliyotawaliwa na wakuu watano wa Wafilisti. Miji hiyo ilikuwa yenye ngome na vijiji ambavyo havikuzungushiwa kuta. Lile jiwe kubwa kwenye shamba la Yoshua wa Beth-shemeshi, mahali ambapo walilipeleka sanduku la Mwenyezi-Mungu, ni ushahidi wa tukio hilo hadi leo.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 6

Mtazamo 1 Samueli 6:18 katika mazingira