Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 5:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini baada ya kulipeleka huko Gathi, Mwenyezi-Mungu akauadhibu mji huo, akisababisha hofu kuu mjini, na akawapiga wanaume wa mji huo, vijana kwa wazee, kwa kuwaletea majipu.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 5

Mtazamo 1 Samueli 5:9 katika mazingira