Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 5:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Walituma wajumbe na kuwakusanya wakuu wote wa Wafilisti na kuwauliza, “Je, tutafanya nini na sanduku hili la Mungu wa Israeli?” Wakuu wao wakajibu, “Sanduku hilo la Mungu wa Israeli lipelekeni Gathi.” Basi, wakalipeleka kwenye mji wa Gathi.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 5

Mtazamo 1 Samueli 5:8 katika mazingira