Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 30:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Yule kijana alimwongoza Daudi hadi genge lile lilipokuwa. Walipofika huko waliwakuta wateka nyara hao wakiwa wametawanyika kila mahali kwani walikuwa wakila na kunywa kwa sababu nyara walizoteka kutoka nchi ya Wafilisti na nchi ya Yuda zilikuwa nyingi sana.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 30

Mtazamo 1 Samueli 30:16 katika mazingira