Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 3:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo Eli akamwambia Samueli, “Nenda ukalale, na akikuita, mwambie hivi: ‘Sema, ee Mwenyezi-Mungu, kwani mimi mtumishi wako nasikiliza.’” Hivyo Samueli akarudi na kulala mahali pake.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 3

Mtazamo 1 Samueli 3:9 katika mazingira