Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 3:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu akamwita Samueli kwa mara ya tatu. Samueli akaamka, akamwendea Eli na kumwambia, “Nimekuja, kwani umeniita.” Ndipo Eli alipotambua kuwa Mwenyezi-Mungu ndiye aliyemwita Samueli.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 3

Mtazamo 1 Samueli 3:8 katika mazingira