Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 29:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Makamanda wa Wafilisti waliuliza, “Waebrania hawa wanafanya nini hapa?” Akishi akawajibu hao makamanda Wafilisti, “Huyu ni Daudi, mtumishi wa Shauli mfalme wa Israeli; naye amekuwa nami kwa muda mrefu: Miaka kadhaa. Na tangu alipokimbilia kwangu, sijampata na kosa lolote.”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 29

Mtazamo 1 Samueli 29:3 katika mazingira